
LINEX FT WYRE – RIZIKI
[Audio clip: view full post to listen]
Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.
MSANII anayezidi kujichukulia umaarufu ndani ya muziki wa kizazi kipya kutoka mkoani Kigoma, Linex almaarufu kama Sunday Mjeda, amesema kuwa baada ya ngoma yake ya ‘Mahakama ya Mapenzi’, ikiwa inafanya poa sokoni sasa yupo kwenye hatua za mwisho za kuachia video ya ngoma hiyo ambapo itakuwa hewani siku kadhaa zijazo baada ya kukamilika kwake.
Ukizungumzia mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya mwenye sauti ya pekee mwenye mashairi yaliokwenda shule na yanayogusa hisia na maisha ya kawaida ya kila siku hasa kwenye maswala ya mapenzi. Na inasemekana ni msanii anayeongoza kwa kupendwa na wanandoa wengi hapa bongo kutokana na jinsi mashairi yake yanavyowagusa hasa wanandoa ndani ya nyumba…..hivi punde tu ametoka [...]
Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.
So,it finally happened! After all the noise for almost two months, on Dec 1st,the Red Ribbon Fashion Gala took place at Serena Hotel. It was attended by many famous faces and names..including Hon MP Zitto Kabwe and many more.
The Tanzania Mitindo House and Flaviana Matata Foundation were the brains behind it all.
Great MC’s of the [...]
STUDIO ya Kiri Records kwa kushirikiana na duka la nguo la Bad Collection, linatarajia kufanya uzinduzi rasmi wa single ya msanii Dan Rock ‘Kitola’ na Shadooh ndani ya New Maisha Club Desemba 2 mwaka huu huko wasanii kibao wakitoa sapoti katika kufanikisha show inakwenda kama walivyopanga.
Baadhi ya wasanii watakaotoa sapoti siku hiyo ni pamoja Linex, Kitale maarufu kama rais [...]
SUMA LEE & LINEX [KIGOTANG] – BODA BODA
[Audio clip: view full post to listen]
Mzingo mpya toka kwa producer machachari toka kule Pande za kibaha aitwaye Fundi Samweli chini ya studio za Usanii Production. Ushirikiano wa uimbaji kati ya Suma Lee pamoja na Linex katika wimbo huo hakika ni wa kuvutia na wenye bashasha ya [...]
Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.
MSANII anayetamba na ngoma ya ‘Aifola’, Linex ameuambia mtandao wa DarTalk kuwa anatarajia kufanya ngoma ya kipekee kabisa na wasanii maarufu kutoka Afrika Mashariki, Avril kutoka Kenya na Keko kutoka Uganda ngoma inayokwenda kwa jina ‘Wema kwa Ubaya’.
Avril kwa anatamba na ngoma ‘Kitu Kimoja’, ambapo pia aliwahi kutamba zaidi na ngoma yake ya ‘Chokoza’, huku kwa Keko ambaye bado [...]